Back to repertoire
Swahili
Pokea Ee Baba
Copyright status has not been confirmed, so files are restricted to choir members.
Lyrics
Pokea ee Baba vipaji vyetu hivi, vitakase Bwana uvibariki *2
1. Fedha tunatoa, mikononi mwako, zitakase Bwana uzibariki
2. Mazao ya shamba, twayaleta kwako, yatakase Bwana uyabariki
3. Mkate divai, tunaleta kwako, vitakase Bwana uvibariki
4. Na sisi wenyewe, twajitoa kwako, tutakase Bwana utubariki
5. Atukuzwe Baba, na Mwana na Roho, mwanzo hata sasa milele yote
Liturgical seasons
Mass parts
Offertory