Back to repertoire
English

Nimeingia Hapa Mahali

Copyright status has not been confirmed, so files are restricted to choir members.

Lyrics

Nimeingia (kwako) hapa mahali patakatifu
Unipokee (kwako) unitakase nipate neema

1. Nimeingia kwako nimeingia, Hapa mahali patakatifu
2. Ee Bwana mwema wewe mfadhili sana, Nakuja kwako kukutukuza
3. Nakuabudu pia nakusujudu; Nisaidie mimi ni wako
4. Mimi Mkristu pokea sala zangu; Ninakuomba unisaidie
4. Nihurumie kwani mimi mnyonge; Nategemea msaada wako
5. Unipokee kwako unipokee; Unitakase nipate neema

Liturgical seasons

Mass parts

Entrance