Back to repertoire
Swahili
Mkizipenda Sheria Zangu
Copyright status has not been confirmed, so files are restricted to choir members.
Lyrics
{Mkizipenda sheria zangu (wote),
nitawaombea kwa Baba yangu (na yeye)
atamtuma Roho wa kweli (ndiye)
atakaye wafariji mioyo } *2
1. Nyumbani mwa Baba kuna mengi, kwa kweli atawapa makao *2
2. Sitawaacha kama yatima, nitamtuma Roho wa kweli *2
3. Kwa kweli mkinipenda mimi, na Baba yangu atawapenda *2
Liturgical seasons
Mass parts
Entrance