Back to repertoire
Swahili
Kumbuka
Copyright status has not been confirmed, so files are restricted to choir members.
Lyrics
Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana
Haijasikika bado hata mara moja
Kwamba ulimwacha mtu, aliyekimbilia ulinzi wako
Aliyeomba msaada na maombezi yako-o
{Kumbuka*3 Eeh Bikira Maria aah }*2
Kwa matumaini hayo, tunakimbilia wewe eh Mama
Bikira wa mabikira, kwa matumaini hayo
Tunasimama mbele yako, tukilalamika si wakosefu
eeh Bikira twaja kwako
{Kumbuka*3 Eeh Bikira Maria aah }*2
Eeh Mama wa neno la Mungu, usiyakatae maneno yetu
Bali upende kuyasikia, Na kuyasikiliza
{Kumbuka*3 Eeh Bikira Maria aah }*2
.