Back to repertoire
Swahili
Baba Twakutolea
Copyright status has not been confirmed, so files are restricted to choir members.
Lyrics
Baba twakutolea sadaka yetu hii leo, ukubali ikupendeze *2
1. Mkate tunaokutolea Ee Baba, ukubali...
Na ugeuke kuwa mwili wa Kristu (Ee Baba), ukubali...
2. Divai tunayokutolea Ee Baba, ukubali...
Naigeuke kuwa damu yake Kristu (Ee Baba), ukubali...
3. Mazao ya mashamba twakutolea Ee Baba, ukubali...
Ndiyo kazi ya mikono ya wana wako, ukubali...
4. Eklesia twatolea uibariki, ukubali..
Na kazi ya watumishi walio wako, ukubali...
5. Jamaa twakutolea uwabariki, ukubali...
Wazazi na watoto uwabariki (Ee Baba), ukubali...
6. Matoleo twakutolea Ee Baba, ukubali...
Uyabariki yawe sadaka safi (Ee Baba), ukubali...
Liturgical seasons
Mass parts
Offertory